STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 4 Agosti 2014

BAADA YA KUPIGWA CHINI FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA 2014, SAMIR NASRI KUTANGAZA KUSTAAFU SOKA LA KIMATAIFA

Man in the middle: Samir Nasri is set to announce his retirement from international football
Mtu katikati: Samir Nasri anatazamiwa kutangaza kustaafu soka la kimataifa.

SAMIR Nasri hajaweza kuweka wazi kabisa dalili za kustaafu soka la kimataifa kufuatia kuenguliwa katika kikosi cha kocha Didier Deschamps kilichoshiriki kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu nchini Brazil. 
Nasir aliachwa kwenye kikosi hicho kwasababu Deschamp alidai kuwa nyota huyo hachezi kwa kujitolea katika timu ya taifa kama anavyofanya akiwa na klabu yake ya Manchester City.
Demu wa Nasir, Mhispania Anara Atanes alijibu mapigo kwenye mtandao wa Twita na kuitukana Ufaransa na kocha wake akisema: ‘F*** france and f*** deschamps! What a s*** manager!’ (hutujaona haja ya kutafsiri maneno haya kwasababu ya maadili).
Suala hili lilimkatisha sana Nasir ambaye aliondoka tena kikosini katika fainali za mwaka 2010 nchini Afrika kusini na alifungiwa mechi tatu baada ya kumtukana mwandishi wa habari katika fainali za mataifa ya Ulaya mwaka 2012.
Raring to go: Nasri has enjoyed an extended summer holiday after missing the World Cup with France
 Nasri amefurahia mapumziko ya majira ya kiangazi baada ya kuzikosa fainali za kombe la dunia

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox