STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Agosti 2014

DIEGO COSTA ATOA MKOSI DARAJANI...APIGA ZOTE MBILI THE BLUES IKIICHAPA REAL 2-0


Onyo mapema: Diego Costa akisherehekea baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza Uwanja wa Stamford Bridge
MABAO ya mawili ya mapema kipindi cha kwanza ya Diego Costa yameipa Chelsea ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Sociedad ya Hispania katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu.
Akicheza kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Stamford Bridge tangu aiongoze timu yake ya zamani, Atletico Madrid kuifunga timu ya Jose Mourinho katika Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Costa alihitaji dakika nane tu kuiteketeza Real Sociedad.
Alifunga dakika ya kwanza na saba na sasa anafikisha jumla ya mabao manne aliyoifungia Chelsea tangu ajiunge nato akitokea Atletico mwezi uliopita.
Kikosi cha Chelsea kilikuwa; Courtois, Ivanovic/Zouma dk82, Cahill/Azpilicueta dk45, Terry/Christiansen dk86, Ake/Luis dk45,Ramires/Oscar dk45, Matic/Van Ginkel dk82, Fabregas/Mikel dk71, Schurrle/Willian dk45, Costa/Torres dk60 na Hazard/Salah dk82. 
Real Sociedad: Zubikarai, Zaldua/C. Martínez dk59, Ansotegi/Mikel dk11, Inigo Martinez, De la Bella/Yuri dk72, Markel/Elustondo dk59, R.Pardo/A.Oyarzun dk72, Granero/Chory dk65, X.Prieto/Hervías dk72, Canales/Hernandez dk72 na Agirretxe/Estrada dk65.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox