STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 20 Agosti 2014

DUNGA ATAJA KIKOSI CHA BRAZIL, ALVES, MARCELO, CESAR, PAULINHO WAPIGWA CHINI...

ANGALIA KIKOSI KAMILI HAPA.... 

Great form: Philippe Coutinho has been recalled to the Brazil squad after some fine displays for Liverpool
Philippe Coutinho ameitwa kikosi ncha Brazil baada ya kuonesha kiwango kikubwa akiwa na Liverpool.

DUNGA ameanza majukumu yake ya ukocha mkuu wa timu ya taifa ya Brazil kwa mara ya pili kwa kuwapiga chini wachezaji 13 walioshiriki fainali za kombe la dunia. 
Philippe Coutinho ni miongoni mwa wachezaji walioitwa kutokana na kiwango kizuri akiwa na Liverpool, wakati Neymar aliyepona majeruhi yake aliyopata katika fainali za kombe la dunia naye amejumuishwa katika kikosi hicho.
Kikosi cha wachezaji 22 kilitajwa jumanne kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Colombia na Ecuador.
Back in business: Dunga has also put his trust in the fit-again Neymar for the two friendly games
Amerudi kazini: Dunga bado ina imani na Neymar katika michezo miwili ya kirafiki dhidi ya Colombia na Ecuador.
Out with the old: But several members of the World Cup squad, including Julio Cesar, have been dropped
Ametemwa: Wachezaji wengi wa kikosi kilichoshiriki kombe la dunia akiwemo Julio Cesar, wameachwa na Dunga.

Kikosi cha Brazil cha wachezaji 22  kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Colombia na Ecuador 

Walinda Mlango: Jefferson (Botafogo), Rafael (Napoli)

Walinzi: Maicon (AS Roma), Filipe Luis (Chelsea), Alex Sandro (FC Porto), Danilo (FC Porto), David Luiz (Paris Saint-Germain), Marquinhos (Paris Saint-Germain), Gil (Corinthians), Miranda (Atletico Madrid)

Viungo: Fernandinho (Manchester City), Luiz Gustavo (VfL Wolfsburg), Elias (Corinthians), Ramires (Chelsea), Everton Ribeiro (Cruzeiro), Ricardo Goulart (Cruzeiro), Oscar (Chelsea), Willian (Chelsea), Philippe Coutinho (Liverpool)

Washambulaiji: Hulk (Zenit St Petersburg), Neymar (FC Barcelona), Diego Tardelli (Atletico Mineiro)

Kipa wa QPR , Julio Cesar, beki wa kulia wa Barcelona  Dani Alves, Marcelo wa Real Madrid na kiungo wa Tottenham, Paulinho ni miongoni mwa wachezaji wakubwa walioachwa katika kikosi hicho, wakati nahodha Thiago Silva amekosekana kutokana na majeruhi.
Dunga alimrithi Luiz Felipe Scolari baada ya kuvurunda katika fainali za kombe la dunia katika ardhi ya Brazil.
Brazil ilifungwa mabao 7-1 na Ujerumani, pia walifungwa mchezo wa mshindi wa tatu na Uholanzi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox