STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Agosti 2014

EVERTON YASAJILI WINGA MGHANA WA CHELSEA

Winga wa Chelsea na Ghana, Christian Atsu anatarajiwa kujiunga na Everton kwa mkopo wa muda mrefu
 
KLABU ya Everton imekubali kumsajili kwa mkopo wa muda mrefu kiungo wa Chelsea, Christian Atsu, kwa mujibu wa kocha Roberto Martinez.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ghana sasa anakwenda kupiga kazi Goodison Park kwa msimu wote wa 2014/2015, kitu ambacho sasa Martinez amethibitisha.
Utaratibu wa mkopo umefikiwa baina ya timu hizo mbili, huku kigali cha kufanya kazi kikibaki kuwa kitu pekee kinachomchelewesha Atsu kuwa mchezaji wa tano kusajiliwa na Everton msimu huu.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox