STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Agosti 2014

ANGALIA MIPICHA JINSI AMBAVYO KOCHA MPYA WA SIMBA ALIVYOPOKELEWA LEO DAR

Kocha mpya wa Simba SC, Patrick Phiri akiwapungia mikono mashabiki wa timu hiyo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam mchana wa leo tayari kusaini Mkataba wa kurithi mikoba ya Mcroatia, Zdravko Logarusic aliyevunjiwa Mkataba mwishoni mwa wiki.
Kocha Phiri amerejea Msimbazi baada ya miaka minne

Anazungumza na Waandishi wa Habari

Amepokewa kwa mashada ya maua

Amepokewa kwa matarumbeta

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox