STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 24 Agosti 2014

JOSE MOURINHO AWACHARUKIA DIEGO COSTA NA WENZAKE LICHA YA KUSHINDA 2-0 DHIDI YA LEICESTER

Laboured: Diego Costa gave Chelsea the lead but the hosts made hard work of Leicester
  Diego Costa aliifungia Chelsea bao la kuongoza dhidi ya timu ngumu ya Leicester.

JOSE Mourinho aliwajia juu wachezaji wake kuwa ni wavivu kufuatia kucheza vibaya kipindi cha kwanza licha ya ushindi wa mabao 2-0 waliopata jana dhidi ya  Leicester.
Chelsea walibanwa mbavu kipindi cha kwanza na timu mpya iliyopanda daraja ya  Leicester  kabla ya Mourinho kuwawashia moto wachezaji wake wakati wa mapumziko.
Mabao ya Diego Costa na Eden Hazard yalitosha kuwapa ushindi The Blues katika dimba la Stamford Bridge.
Come on lads: Jose Mourinho cut a frustrated figure during the first half at Stamford Bridge 
Vijana kazeni: Jose Mourinho aliwajia juu wachezaji wake baada ya kipindi cha kwanza kumalizika.
Mourinho hakafurahishwa na mwanzo wa taratibu.
Alisema: "Napenda kufanya mazoezi asubuhi, lakini wiki hii nilifanya mazoezi mchana kwasababu sio hali nzuri ya kucheza mpira, unapata uvivu".
"Kipindi cha kwanza timu ilicheza kivivu na sikupenda kabisa.
"Lakini walijiboresha kipindi cha pili na kushinda, hiki ndicho kitu muhimu zaidi"
"Wakati wa mapumziko tuliwakalipia kidogo. Niliwaambia kuwa jinsi tunavyocheza haitoshi kushinda mchezo na walikuwa katika hatari"
Get in there: But he had plenty to celebrate in the second half as the Blues went onto win 2-0
Shangwe: Baada ya Chelsea kufunga mabao mawili, furaha ilitawala.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox