STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 17 Agosti 2014

LIVERPOOL BADO WANAOTA KUMNASA RADAMEL FALCAO LICHA YA UPINZANI KUTOKA REAL MADRID

Transfer: Radamel Falcao signed for Monaco last summer after a brilliant spell at Atletico Madrid
Usajili: Radamel Falcao alijiunga na Monaco majira ya kiangazi mwaka jana baada ya kucheza kwa mafanikio katika klabu ya Atletico Madrid.

RADAMEL Falcao bado anazivutia klabu za England ikiwemo Liverpool, ingawa mchezaji mwenyeye ana matumaini ya kujiunga na Real Madrid.
Mshambuliaji huyu wa Colombia, ambaye mwaka jana alijiunga na Monaco ya Ufaransa kwa dau la paundi milioni 50 kutokea klabu ya Atletico Madrid anaonekana kutoridhishwa na ligi ya Ufaransa na anatamani kurudi Madrid.
Majira haya ya kiangazi tayari Real Madrid wametumia paundi milioni 90 kuwasajili James Rodriguez, Toni Kroos na Keylor Navas na sasa wanajipanga kutovunja sheria ya matumizi ya fedha ya UEFA.
Liverpool wanataka kumchukua Falcao kwa mkopo kwa malengo ya kumsajili moja kwa moja msimu ujao, lakini Monaco hawataweza kukubaliana na masharti hayo wakati wanaamini Real Madrid wataweza kulipa dau zuri.
La Liga: Real Madrid were interested in signing the Colombian forward, but the deal never materialised
La Liga: Real Madrid wanaiwania saini ya Radamel Falcao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox