STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 25 Agosti 2014

MAN UNITED, REAL MADRID ZAMALIZA KWA DI MARIA, ANATUA LEO ENGLAND



Real Madrid imekubali kumuachia Angelo Di Maria ambaye anatua Man United kw akitita cha pauni milioni 64.

Uhamisho wake utavunja rekodi na kuwa ghali zaidi England ukiupita ule wa pauni milioni 50 wakati Fernando Torred alipotua Chelsea akitokea Liverpool.
Di Maria raia wa Argentina, anatarajia kutua jijini Manchester leo kwa ajili ya vipimo na kumalizana na wenyeji wake.
Kocha Carlo Ancelotti wa Madrid amethibitisha kwamba mkali huyo alikwenda kuwaaga mazoezini kwamba anaondoka.
Man United imekuwa ikifanya juhudi kujiimarisha baada ya kusuasua kwa msimu mzima na pia kuanza vibaya msimu mpya kwa kipigo na sare dhidi ya Swansea na Sunderland.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox