STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 14 Agosti 2014

MAN UNITED WAPATA PIGO..! LUKE SHAW NJE WIKI NNE.......


shaw
Beki mpya wa Manchester United, Luke Shaw ameumia nyama za paja na atakuwa nje kwa mwezi mmoja. Shaw alisajiliwa kutoka Southampton kwa pauni milioni 27 msimu huu, na ndiye tegemeo kubwa kwenye ulinzi wa kushoto.
Hata hivyo, kocha Louis van Gaal alipoingia na kumwona kwenye mechi alisema hayupo fiti, hivyo akawekwa chini ya programu maalumu ya kumrejesha kwenye hali nzuri, lakini sasa ameumia na hataanza mechi kama tatu au nne za Ligi Kuu ya England inayoanza Jumamosi hii.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox