STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 14 Agosti 2014

REKODI NYINGINE KWA MAN UNITED..........

20140405-205213.jpg

Maafa yaliyowapata Manchester United msimu uliopita yameanikwa wazi, ambapo kwa mara ya kwanza tangu miaka 19 iliyopita, timu hiyo inaanzia hatua ya pili kwenye michuano ya Kombe la Ligi.
Katika michuano hiyo inayodhaminiwa na Capital One, ikienda kwa jina la Capital One Cup ambayo mabingwa wa mwaka jana ni Manchester City, United wamepangwa kucheza na Milton Keynes Dons, maarufu kama MK Dons.
Mara ya mwisho kuanza kwenye hatua hii ya awali ilikuwa Septemba 1995 ambapo Manchester United walikandikwa 4-3 na York.  Timu nyingine zinazoshiriki katika hatua hii ni pamoja na Bradford, Leeds, Newcastle, Gillingham, Stoke na Portsmouth.
Mechi za hatua hiyo zimepangwa kuchezwa wiki inayoanza Aprili 24.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox