STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Agosti 2014

RONALDO, AMZAWADIA TUZO YAKE ALEX FERGUSON.......



Cristian Ronaldo amemzawadia tuzo yake ya mchezaji wa mechi, kocha wake wa zamani, Alex Ferguson.
Ronaldo alisema ameamua kumzawadia Ferguson kwa kuwa ndiye
aliyemzawadia.

Ferguson aliyekuwa kwenye kikosi cha ufundi cha Uefa wakati Real Madrid ilipowachapa mabingwa Europa Cup, Sevilla  2-0, ndiye aliyeteuliwa kumkabidhi tuzo hiyo Ronaldo.

Ronaldo alifunga mabao yote mawili katika mechi hiyo iliyopigwa Cardiff.
Manchester United ndiyo iliyomtoa na Ferguson ndiye alimchukua kutoka Sporting Lisbon iliyomkuza kisoka akiwa kinda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox