STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Agosti 2014

VIDAL ANAYEWATOA UDENDA MAN UNITED AONYESHA ISHARA YA KUTUA OLD TRAFFORD


Kiungo wa Juventus, Arturo Vidal akisaini jezi ya shabiki wa Manchester United 
KIUNGO Arturo Vidal anayetakiwa na Manchester United ameonyesha ishara fulani, baada ya kusaini jezi ya shabiki wa Mashetani hao Wekundu akiwa kwenye ziara na klabu yake, Juventus nchini Australia.
Vidal, ambaye amekuwa akihusishwa na kuhamia Old Trafford kwa muda sasa baada ya nyota huyo wa Chilea kung'ara msimu uliopita, amekuwa akishawishiwa na wachezaji wenzake kubaki Italia.
Kiungo mwingine wa Juventus, Paul Pogba alisema wiki iliyopita kwamba anatumaini Vidal atabakia katika klabu hiyo, licha ya kutakiwa na United, lakini hali inaonekana kuwa tofauti baada ya kusaini jezi ya United.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox