NYOTA wa
Manchester United waliosajiliwa majira ya kiangazi mwaka huu wana
matumaini ya kutulia zaidi katika maisha ya ligi kuu England wakati huu
wakitafuta sehemu za kuishi watakazotangaza wiki zijazo.
Kwasasa, Radamel Falcao, Angel di Maria, Daley Blind, Ander Herrera, Luke Shaw na Marcos Rojo wanaishi katika hoteli moja ya kifahari ya Lowry Hotel iliyopo mjini Manchester.
The Lowry Hotel ni sehemu tulivu mno mjini Manchester
Kazi kama kawaida: Wachezaji wapya wa
Manchester United wanaweza kulipa paundi 600 kwa mwaka wakiishi katika
Gym ya Hotel ya Lowry
Chumba cha kulala katika hoteli hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni