STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 4 Septemba 2014

DI MARIA ATENGENEZA MATATU NA KUJIPIGIA MOJA ARGENTINA IKIICHAPA UJERUMNAI 4-2


Star of the show: Argentina's Angel di Maria chipped past substitute keeper Roman Weidenfeller from a tight angle to humiliate the world champions
Nyota wa Mchezo: Angel di Maria alionesha kiwango cha hali ya juu.
Magoli matano kati ya sita yaliyofungwa jana mjini Dusseldorf yalifungwa na wachezaji wanaocheza ligi kuu England ambapo moja la Ujerumani lilifungwa na Andre Schurrle anayekipiga Chelsea na lingine likatiwa kimiani na Gotze.
 
ANGEL di Maria alionesha uwezo wake wa kutandaza kabumbu baada ya kutengeneza magoli matatu na kufunga moja, Argentina akiwatandika 4-2 mabingwa wa dunia, Ujerumani.
Nyota huyo aliyevunja rekodi ya usajili ya Manchester United alitoa pasi za mwisho za magoli ya Sergio Aguero, Erik Lamela na Federico Fernandez kabla ya kufunga la kwake ikiwa ni kulipa kisasi cha kufungwa bao 1-0 katika fainali ya kombe la dunia ambapo bao la dakika za nyongeza la Mario Gotze lilizima ndoto za Argentina kutwaa kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu nchini Brazil.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox