STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 1 Septemba 2014

LUIS SUAREZ AREJEA LIVERPOOL LEO KUKUSANYA VIRAGO VYAKE NA KUMKABIDHI STEVEN GERRARD UZI WA BARCA


 

Marafiki wameungana tena: Luis Suarez akiwa na Steven Gerrard (na jezi ya Barcelona) viwanja vya Melwood leo
 
MSHAMBULIAJI Luis Suarez amerejea kwenye viwanja vya mazoezi vya Liverpool katika siku ya leo ya mwisho ya usajili... lakini nyota huyo aliyehamia Barcelona kwa Pauni Milioni 75 alikwenda kuchukua mizigo yake tu.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 27 aliwasili akiwa na zawadi ndogo kwa Steven Gerrard - jezi ya Barca yenye nina lake- na Nahodha huyo wa Liverpool ameposti picha hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram.
Iliambatanishwa na ujumbe usemao: "Amekuja na zawadi kusema kwaheri kwa mtu muhimu asubuhi hii, namtakia mafanikio makubwa mchezaji,".

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox