STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 8 Septemba 2014

MARCO REUS KUIKOSA ARSENAL LIGI YA MABINGWA ULAYA

Down and out: Reus looks distraught after going down in the closing stages against Scotland on Sunday
Reus akiugulia maamuzi katika  mechi ya jana usiku dhidi ya Scotland 

NYOTA wa Borussia Dortmund, Marco Reus ataikosa mechi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya Arsenal huko Westfalenstadion kufuatia kuvunjika mfupa wa kifundo cha mguu katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Euro 2016 dhidi ya Scotland.
Mkali huyo wa Ujerumani atakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki nne baada ya kukatwa buti na Charlie Mulgrew jana usiku.
Arsenal watasafiri kwenda Ujerumani Septemba 16 mwaka huu kukabiliana na Dortmund katika mechi ya makundi ya ligi ya mabingwa-kwa mara ya nne ndani ya miaka minne ambapo klabu hizo zinapangwa kundi moja na Reus atarudi uwanjani mpaka mapema mwezi oktoba.
Late injury: The Germany winger goes down clutching his left ankle after a Charlie Mulgrew challenge
Balaa gani?: Winga wa Ujerumani akianguka chini baada ya kukatwa buti na Charlie Mulgrew na kuumia kifundo cha mguu wa kushoto
Absent: Reus' club Borussia Dortmund broke the news of his injury on Twitter
Atakosekana: Klabu ya Reus ya Borussia Dortmund ilitangaza taarifa hizo katika mtandao wa Twita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox