STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 28 Septemba 2014

RAMSEY, WILSHERE, ARTETA KUIKOSA GALATASARAY LIGI YA MABINGWA ...PIA HATARINI KUIKOSA CHELSEA EPL!

Aaron Ramsey of Arsenal holds his leg as he lies on the pitch after picking up an injury against Tottenham
Aaron Ramsey wa Arsenal akishika mguu wake baada ya kupata majeraha kwenye mechi dhidi ya Tottenham


ARSENE Wenger amethibitisha kuwa Aaron Ramsey, Jack Wilshere na Mikel Arteta hawatacheza mechi ya wiki ijayo, ikimaanisha nyota hao watatu wanaosumbuliwa na majeruhi wataikosa mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya  Galatasaray jumatano ijayo.
Pia wachezaji hawa watatu wako hatarini kuikosa mechi ya ligi kuu jumapili ijayo dhidi ya Chelsea baada ya kupata majeruhi katika sare ya 1-1 jana dhidi ya Tottenham Hotspur uwanja wa Emirates.
Wenger alisema: "Sijui watakaa nje ya uwanja wa muda gani, lakini hawatakuwepo wiki ijayo. Nadhani Ramsey ana majeruhi ya nyama za paja . Wilshere kifundo cha mguu".
Aaron Ramsey lies on the pitch after picking up an injury during the Premier League match on Saturday
Aaron Ramsey akiwa amelala chini kusikilizia maamivu
Jack Wilshere looks in agony during the north London derby and the Arsenal star will be out for next week 
Jack Wilshere aliumia jana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox