STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 1 Septemba 2014

RONALDO AMCHANA MOURINHO, ASEMA HANA URAFIKI NAYE HATA CHEMBE, AMTAJA ALEX FERGUSON



Cristiano Ronaldo ameamua kufunguka kuhusiana na uhusiano wake na Kocha Jose Mourinho na kusema hakuwahi kuwa rafiki yake hata chembe.

Licha ya Mourinho kuwahi kuwa rafiki yake na raia mwenzake wa Ureno, Ronaldo amesema hajawahi kuwa na urafiki naye, badala yake akasisitiza katika makocha, rafiki yake ni mmoja tu, Alex Ferguson aliyekuwa naye Manchester United.
Aidha, Ronaldo amemlaumu Mourinho kwamba wakati akiwa kocha wa Madrid alisababisha mambo mengi kama ugomvi kati ya wachezaji na hata mashabiki.
Mourinho hakuelewana na Iker Casillas, Angel Di Maria, Sergio Ramos na hata Mreno mwenzake, Pepe.
Ronaldo amesema Mourinho alifanya hali ya hewa kutotulia ndani ya kikosi chao huku akisisitiza hayuko kwenye soka kutafuta marafiki, badala yake anataka kushinda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox