MSHAMBULIAJI wa Arsenal,
Danny Welbeck amewakosoa waajiri wake wa zamani Manchester United kwa
kusisitiza kuwa walikwamisha kiwango chake kwa kumchezesha kama winga
wakati akiwa huko. Mameneja wa United akiwemo Sir Alex Ferguson, David
Moyes na Louis van Gaal wote walimtumia Welbeck kama mshambuliaji wa
pembeni huku Van Gaal akifafanua hivi karibuni kuwa nyota huyo hakufunga
mabao ya kutosha. Lakini Welbeck amekuwa katika kiwango cha juu toka
alipohamia Arsenal kwa kitita cha paundi milioni 16 na sasa amefunga
mabao manne katika mechi tano alizocheza baada ya kufunga mabao matatu
au hat-trick katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya
Galatasaray. Akihojiwa Welbeck amesema hakuna yoyote anayeweza kumkosa
moja kwa moja kwasababu hawajawahi kumuona akicheza katika ya
ushambuliaji wa kati mara kwa mara. Welbeck aliendelea kudai kuwa sasa
anapata nafasi hiyo na anachofanya ni kutumbukiza mipira katika wavu
kama ilivyo kwa washambuliaji wengine.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Ijumaa, 3 Oktoba 2014
BAADA YA KUPIGA HAT-TRICK WELBECK SASA AANZA KUCHONGA.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni