KOCHA wa timu ya taifa
ya Uruguay, Oscar Tabarez amemjumuisha Luis Suarez katika kikosi chake
cha wachezaji 22 aliowaita kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki ya
kimataifa mwezi huu dhidi ya Saudi Arabia na Oman. Hiyo inakuwa mara ya
kwanza kwa nyota huyo kuitwa katika kikosi hicho toka alipomng’ata beki
wa kimataifa wa Italia Giorgio Chiellini katika michuano ya Kombe la
Dunia nchini Brazil. Ingawa ameruhusiwa kucheza mechi za kirafiki,
Suarez bado anaendelea kuitumikia adhabu ya mechi tisa za mashindano
alizofungiwa hatua ambayo inamaanisha ataikosa michuano ya Copa Amerika
na baadhi ya mechi za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2018. Adhabu hiyo pia
inajumuisha mechi za mashindano za klabu yake ya Barcelona ambayo
ataimaliza baadae mwezi huu.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Ijumaa, 3 Oktoba 2014
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni