STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 3 Oktoba 2014

RAMIRES ATEMWA BRAZIL.

SHIRIKISHO la Soka nchini Brazil-CBF limedai kuwa limemtema kiungo wa Chelsea Ramires katika kikosi cha timu ya taifa ya nchi hiyo kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Argentina na Japan na nafasi yake itachukuliwa na Souza anayecheza klabu ya Sao Paulo. CBF imedai kuwa Souza mwenye umri wa miaka 25 ambaye ni kiungo wa ulinzi ataungana na mchezaji mwingine ambaye ameitwa kwa mara ya kwanza golikipa wa Gremio Marcelo Grohe. Ramires ameachwa kutokana na kusumbuliwa na matatizo ya misuli. Grohe, ambaye hajafungwa katika mechi nane mfululizo akiwa na Gremio, amechukuliwa kama tahadhari baada ya golikipa chaguo ka kwanza Jefferson kuumia kidole wakati akiitumikia klabu yake ya Botafogo. Brazil itakwaana na Argentina jijini Beijing Octoba 11 na baadae kuivaa Japan nchini Singapore siku tatu baadae.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox