STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 3 Oktoba 2014

DEL BOSQUE AMUONYESHA JEURI MOURINHO KWA KUMUITA COSTA HISPANIA.

KOCHA wa timu ya taifa ya Hispania, Vicente Del Bosque amemuita Diego Costa katika kikosi chake kwa ajili ya michezo ya kufuzu michuano ya Ulaya mwakani dhidi ya Slovakia na Luxembourg, pamoja na Jose Mourinho kuonya kuwa mshambuliaji huyo wa Chelsea anapaswa kutumiwa kwa uangalifu. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 25 amekuwa akisumbuliwa na majeruhi ya misuli hivi karibuni huku Mourinho akidai kuwa Costa ni kama hafanyi kabisa mazoezi ili kumuweza apone vizuri na kuelekeza kuwa ingefaa asiitwe kwa ajili ya mechi za kimataifa. Hata hivyo Mourinho alimchezesha Costa kwa dakika zote 90 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya walioshinda dhidi ya Sporting Lisbon ikiwa ni mara ya kwanza kwa mshambuliaji huyo kucheza muda wote baada ya kupita mwezi. Del Bosque ameuamua kujibu mapigo kwa kumuita nyota huyo na kudai kuwa haoni tatizo lolote kwnai anacheza mechi zote za klabu yake.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox