MENEJA wa zamani wa
klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amedai kuwa Louis van Gaal
anafanya sahihi kutengeneza kikosi chake mwenyewe Old
Trafford. Akihojiwa na luninga ya MUTV, Ferguson aliunga mkono mpango
huo wa Van Gaal na kudai kuwa ana uzoefu wa kutosha wa kufanya
hivyo. Van gaal alitumia zaidi ya paundi milioni 150 wakati wa kipindi
cha usajili wa majira ya kiangazi ukiwemo usajili uliovunja rekodi
nchini Uingereza wa paundi milioni 59.7 kwa ajili ya kiungo Angel Di
Maria. Kocha huyo pia amewaacha wachezaji 14 akiwemo Danny Welbeck
aliyekwenda Arsenal kwa kitita cha paundi milioni 16 toka alipotua hapo
Julai mwaka huu. Ferguson alistaafu Mei mwaka jana na kumuachia nafasi
yake David Moyes ambaye naye alidumu kwa kipindi miezi 10 pekee kabla ya
kuingia Van Gaal.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 9 Oktoba 2014
FERGUSON AUNGA MKONO MPANGO WA VAN GAAL KUUNDA UPYA KIKOSI CHA UNITED.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni