WAKALA wa mshambuliaji
nyota wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amedai kuwa nyota huyo
hana mpango wowote wa kurejea Manchester United na anatarajia kutundika
daruga zake akiwa Real Madrid. Ronaldo mwenye umri wa miaka 29 tayari
amefunga mabao 15 msimu huu ikiwemo hat-trick yake ya 22 katika La
Liga. Kumekuwa na tetesi zinzomhusisha Ronaldo na kurejea katika klabu
yake ya zamani ya United lakini taarifa hizo zimekanushwa na wakala wake
Jorge Mendez. Mendez amesema Ronaldo ana furaha Madrid na ataendelea
kuvunja rekodi zote na kustaafu akiwa hapoi. Wakala huyo aliendelea
kudai kuwa haitawezekana kutokea mchezaji wa aina yake kwa mingi sana
ijayo kwa kila siku anazidi kuimarika na atendelea hivyo mpaka
atakapofikia miaka 40. Ronaldo aliondoka United kwenda Madrid mwaka 2009
kwa kitita cha paundi milioni 80.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 9 Oktoba 2014
MAN UNITED WASAHAU RONALDO KURUDI - MENDEZ.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni