STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 21 Oktoba 2014

HATIMAYE PISTORIUS AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO


Hatimaye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imefikia tamati kwa yeye kuhukumiwa miaka mitano jela.

Pistorius aliyekuwa anatuhumiwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp amehukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kesi ya mauaji bila ya kukusudia.
Awali mwanariadha huyo aliondolewa mashitaka ya kuua kwa kukusudia.
Akiwa mahakani leo mjini Pretoria, aliangua kilio baada ya hukumu hiyo.
Hata hivyo, mama mzazi wa marehemu, alipinga na kusema adhabu hiyo ni ndogo.
Pia taasisi za kutetea haki za binadamu zimekuwa zikipinga kwa kasi kubwa kuhusiana na hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox