KLABU ya Inter Milan
imeanza tena mipango ya kutaka kumsajili winga mahiri wa kimataifa wa
Ghana Andtre Ayew. Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kuwa
Inter wanamfuatilia kwa karibu Ayew ambaye mkataba wake unamalizika
katikati ya mwezi ujao. Tetesi za Inter kumtaka Ayew sio mpya kwani
mwaka 2011 zilizuka tetesi hizo na winga hakuwa kupinga au kuonyesha nia
ya kuondoka katika klabu yake ya sasa Marseille. Huku Liverpool,
Newcastle na Liverpool nazo zikionyesha kumuhitaji, inakadiriwa kuwa
kitita cha euro milioni 11 kinaweza kumng’oa Marseille. Lakini kutokana
na ujio wa kocha mpya Marcelo Bieslsa, Ayew ambaye ni mototo wa zamani
wa nguli wa soka wa Ghana Abeid Pele ameanza kurejesh makali yake
taratibu yaliyokuwa yamepotea.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 9 Oktoba 2014
INTER YAANZA TENA KUMNYATIA ANDRE AYEW.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni