MENEJA wa zamani wa
klabu ya Tottenham Hotspurs, Harry Redknapp amedai kuwa nguli wa soka wa
zamani wa Arsenal Patric Vieira alikuwa akitaka kijiunga klab hiyo
mwishoni labla ya kuamua kutundika daruga rasmi. Kiungo huyo wa
kimataifa wa Ufaransa aliitumikia Arsenal kwa miaka tisa na kuingoza
timu hiyo kushinda mataji matatu ya Ligi Kuu. Vieira ambaye pia aliwahi
kuwa nahodha wa Arsenal alikuwa yuko tayari kwenda Spurs pamoja na
uhasimu uliopo baina ya timu hizo ambazo zote zinatokea kaskazini mwa
jiji la London. Redknapp alifikiria ulikuwa uamuzi sahihi lakini
akasisitiza kuwa kama mtu yeyote ambaye anaweza kukubali kunyanyapaliwa
na mashabiki wa Spurs alikuwa ni Vieira. Kocha huyo aliandika hayo
katika kitabu chake kipya ambacho kimeingia mtaani hivi karibuni.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 9 Oktoba 2014
REDKNAPP ADAI VIEIRA ALITAKA KUJIUNGA NA SPURS.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni