MENEJA wa klabu ya Manchester United, Luis van Gaal amedai kuwa kikosi chake kilicheza kwa kiwango bora kabisa kwa msimu huu wakati walipotoa sare ya mabao 2-2 dhidi ya West Ham United jana usiku katika mchezo wa Ligi Kuu. Mara mbili United walitoka nyuma na kufunga mabao yake kupitia kwa Marouane Fellaini na Daley Blind na kufuta mabao ya wenyeji wao yaliyofungwa na Stephane Sessegnon na Saido Berahino. Akihojiwa Van Gaal amesema kilichomsikitisha na kucheza kwa kiwango bora kwa msimu halafu wameshindwa kupata matokeo yaliyoridhisha. Kocha huyo amesema kwa jinsi kikosi chake kilivyocheza kilistahili kuondoka na alama zote tatu muhimu lakini aliwapongeza wapinzani wao kwa kujitahidi na kufanya siku yao kuwa ngumu.
MENEJA wa klabu ya Manchester United, Luis van Gaal amedai kuwa kikosi chake kilicheza kwa kiwango bora kabisa kwa msimu huu wakati walipotoa sare ya mabao 2-2 dhidi ya West Ham United jana usiku katika mchezo wa Ligi Kuu. Mara mbili United walitoka nyuma na kufunga mabao yake kupitia kwa Marouane Fellaini na Daley Blind na kufuta mabao ya wenyeji wao yaliyofungwa na Stephane Sessegnon na Saido Berahino. Akihojiwa Van Gaal amesema kilichomsikitisha na kucheza kwa kiwango bora kwa msimu halafu wameshindwa kupata matokeo yaliyoridhisha. Kocha huyo amesema kwa jinsi kikosi chake kilivyocheza kilistahili kuondoka na alama zote tatu muhimu lakini aliwapongeza wapinzani wao kwa kujitahidi na kufanya siku yao kuwa ngumu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni