RAIS wa zamani wa klabu
ya Santos, Luis Alvaro de Oliviera Ribeiro amedai kuwa Real Madrid
walitoa dau kubwa zaidi kuliko Barcelona mwaka uliopita lakini Neymar
mwenyewe aliamua kwenda Camp Nou. Mshambuliaji huyo alisajiliwa na
Barcelona kwa kitita cha euro milioni 86.2 katika majira ya kiangazi
mwaka jana na kumaliza msuguano wa miaka kadhaa kati ya timu hizo katika
kugombea saini ya Neymar. Ribeiro amesema wakati akipokea matibabu
alimuachia majukumu makamu wake ambaye alikuja kuchukua kiti hicho
baadae Odilio Rodrigues kuendelea kufanya mawasiliano na Barcelona na
Madrid. Rais huyo wa zamani aliendelea kudai kuwa Rodrigues alimfuata na
kumhabalisha kuwa Madri wametoa ofa kubwa lakini tatizo ni kwamba
mchezaji mwenyewe anataka kwenda Barcelona. Kutokana na hilo Ribeiro
amesema walikuwa hawana ujanja zaidi ya kufuata matakwa ya mchezaji
mwenyewe na kumuuza kule anapopahitaji.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumanne, 21 Oktoba 2014
Home
/
Unlabelled
/
RAIS WA ZAMANI WA SANTOS ADAI MADRID WALITOA DAU KUBWA KULIKO BARCELONA KATIKA USAJILI WA NEYMAR.
RAIS WA ZAMANI WA SANTOS ADAI MADRID WALITOA DAU KUBWA KULIKO BARCELONA KATIKA USAJILI WA NEYMAR.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni