KIUNGO wa kimataifa wa
Ujerumani, Mesut Ozil amekwenda jijini Munich leo kufanyiwa vipimo vya
goti lake la kushoto na kuacha wasiwasi juu ya nafasi yake ya kuwemo
katika kikosi cha nchi hiyo kitakachovaana na Poland jijini Warsaw
katika mchezo wa kufuzu michuano ya Ulaya mwaka 2016. Ozil ambae
alicheza dakika zote 90 katika mchezo Arsenal waliofungwa mabao 2-0 na
Chelsea Jumapili iliyopita anaweza kuwa mchezaji mwingine mwenye jina
kubwa katika kikosi cha Joachim Loew kukosekana baada ya Bastian
Shweinsteiger na Marco Reus kutokuwepo. Msemaji wa timu hiyo ya
Ujerumani Jens Grittner amesema Ozil amekuwa na matatizo ya goti lake la
kushoto lakini hawezi kuelezea zaidi mpaka atakapopata vipimo. Hata
hivyo kuna habari nzuri kwa Loew baada ya Julian Draxler kukiunga na
kikosi cha timu hiyo leo baada ya kupona mafua yaliyokuwa yakimsumbua.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatano, 8 Oktoba 2014
OZIL "PANCHA" TENA, KUKAA NJE WIKI TATU.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni