MSHAMBULIAJI wa klabu ya
Real Madrid, Cristiano Ronaldo amempongeza Karim Benzema kama
mshambuliaji bora katika La Liga baada ya kufunga mabao mawili katika
mchezo walioitandika Athletico mabao 5-0 jana. Benzema amekuwa akizomewa
na mashabiki wa nyumbani msimu huu lakini jana jina lake lilikuwa
likiimbwa kwa kutukuzwa katika uwanja wote wa Santiago Bernabeu. Pamoja
na Ronaldo kupiga hat-trick katika mchezo huo lakini hakushindwa
kumpongeza mchezaji mwenzake huyo kwa kurejesha imani kwa mashabiki wa
timu hiyo. Ronaldo amesema kukosolewa ni sehemu ya mchezo wa soka, hivyo
anafurahi kuwa sasa Benzema hana ugomvi tena na mashabiki kwani amewapa
wanachokitaka. Nyota huyo aliendelea kudai kuwa amekuwa akifurahia sana
muungano wake na Benzema pamoja na Gareth Bale katika timu hiyo.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumanne, 7 Oktoba 2014
RONALDO AMPA "TANO" BENZEMA.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni