MSHAMBULIAJI nyota wa
klabu ya Barcelona, Lionel Messi amesisitiza kuwa hana nia ya kushindana
na Cristiano Ronaldo kwa ajili ya tuzo ya mchezaji bora wa
dunia. Kushinda tuzo sita za Ballon d’Or kati yao, wawili hao wamekuwa
wakifananishwa mara nyingi na wachezaji wenzao, wachambuzi na hata
mashabiki. Hata hivyo Messi amesisitiza kuwa huwa hafuatilii sana mambo
ya mashindano baina yao kwani kikubwa kinachomsukuma kufanya vyema sio
tuzo binafsi bali ni mataji kwa ajili ya klabu yake. Messi amesema hana
haja ya kushindana na Ronaldo kwani nia na madhumuni yake makubwa na
kuisadia timu yake kushinda mataji mechi iwezekanavyo.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 2 Oktoba 2014
SINA MPANGO WA KUSHINDANA NA RONALDO - MESSI.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni