STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 2 Oktoba 2014

TULISTAHILI KUFUNGWA - GERRARD.

NAHODHA wa klabu ya Liverpool, Steven Gerrard amehoji shauku na dhamira ya wachezaji wenzake baada ya kutandikwa bao 1-0 na FC Basel katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Ulaya. Gerrard amesema hakustahili kupata chochote katika mchezo huo kwani walicheza kizembe huku wakirudia makosa ya mara ya kwanza kwa kushindwa kuokoa vyema mipira langoni mwao. Matokeo hayo sasa yanaishusha Liverpool mpaka katika nafasi ya tatu katika kundi B huku wakikabiliwa na mchezo dhidi ya mabingwa watetezi Real Madrid katika mechi zao mbili zijazo. Gerrard amesema Basel walicheza vyema huku wakionyesha uchu wa kupata ushindi kuanzia mwanzo mpaka mwisho tofauti na wao ambao walionekana kama bado hawajazinduka.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox