NAHODHA wa klabu ya
Liverpool, Steven Gerrard amehoji shauku na dhamira ya wachezaji wenzake
baada ya kutandikwa bao 1-0 na FC Basel katika mchezo wa Ligi ya
Mabingwa barani Ulaya. Gerrard amesema hakustahili kupata chochote
katika mchezo huo kwani walicheza kizembe huku wakirudia makosa ya mara
ya kwanza kwa kushindwa kuokoa vyema mipira langoni mwao. Matokeo hayo
sasa yanaishusha Liverpool mpaka katika nafasi ya tatu katika kundi B
huku wakikabiliwa na mchezo dhidi ya mabingwa watetezi Real Madrid
katika mechi zao mbili zijazo. Gerrard amesema Basel walicheza vyema
huku wakionyesha uchu wa kupata ushindi kuanzia mwanzo mpaka mwisho
tofauti na wao ambao walionekana kama bado hawajazinduka.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 2 Oktoba 2014
TULISTAHILI KUFUNGWA - GERRARD.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni