STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 8 Desemba 2014

AGUERO AMWAMBIA RAFIKI YAKE ATAKAA NJE KWA MWEZI MZIMA


Mshambuliaji nyota wa Man City, Sergio Aguero amemuambia rafiki yake atakuwa nje kwa mwezi mzima kutokana na maumivu ya goti.


Aguero aliumia katika mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Everton.

Tayari Man City imeshatangaza kuwa ameondolewa kwenye kikosi kitakachopiga katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya AS Roma, Jumatano.


Hata hivyo, imeelezwa Aguero atafanyiwa vipimo ndani ya siku chache ambavyo vitaamua matibabu yake yafanyike kwa muda gani na akae nje kwa kipindi kipi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox