STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 8 Desemba 2014

Messi amjibu Ronaldo, Barca ikiua 5-1 Hispania........ Kamata mwizii meeeeen

Messi akishangilia moja ya mabao yake leo
Suarez na Pique wakishangilia bao la pili la Barcelona
Kabakisha hat trick mbili tu kumkuta Ronaldo
Akipongezwa na Neymar
Bravo Brother!
Utukuzwe uliyenijalia kipaji hiki cha soka
 STRIKA Lionel Messi amejibu hat trick ya Cristiano Ronaldo baada ya kufunga magoli matatu wakati akiisaidia Barcelona wakiiangamiza wapinzani wa Jimbo la Cataluna, Espaniol kwa mabao 5-1 katika mechi ya La Liga usiku huu.
Messi amefunga mabao hayo na kufanya afikishe jumla ya mabao 256 na kuzidi kumuacha mbali Ronaldo aliyefikisha mabao 200 jana usiku.
Wageni Espanol walikuwa wa kwanza kupata bao lililofungwa dakika ya 13 na Sergio García kabla ya Messi kusawazisha kabla ya mapumziko.
Mkali huyo alifunga bao la pili dakika ya 50 akimalizia kazi ya Suarez kabla ya Gerrard Pique kuongeza bao la tatu dakika ya 53 kwa kichwa na Pedro kuongeza la nne dakika ya 77.
Messi alifikisha hat trick ya 21 na hat trick ya tatu katika mechi nne tofauti zilizopita katika dakika ya 81 kwa kazi nzuri ya Pedro na kuifanya Barcelona kufikisha jumla ya pointi 34 na kukwea hadi nafasi ya pili wakiiengua watetezi Atletico Madrid wenye 32.
katika mchezo mwingine mapema, SEvilla ikiwa ugenini ilinyukwa bao 1-0 na Rayo Vallecano

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox