STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 5 Desemba 2014

EXPRESS YAING'ANG'ANIA SIMBA JIJINI DAR ES SALAAM


Simba imemaliza mechi yake ya kirafiki dhidi ya Express ya Uganda kwa sare ya bila kufungana.

Mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, leo ilikuwa ya kuvutia huku kila upande ukishambulia kwa nguvu.

Pamoja na juhudi za Simba kutaka kushinda lakini Waganda hao walionekana kucheza soka la kujiamini na walikuwa watulivu zaidi.


Kila upande utajilaumu kwa kupoteza nafasi ya kupata mabao ya ushindi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox