STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 3 Januari 2015

DIAMOND ATEULIWA KUTUMBUIZA TUZO ZA MWANASOKA BORA CAF



Msani Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye hafla ya utoaji tuzo za mwanasoka bora Afrika 2014.


Diamond atatumbuiza katika tuzo hizo ambazo wachezaji 25 nyota barani Afrika wamechaguliwa kugombea tuzo hizo. Hafla hiyo itafanyika Januari 8, 2015 jijini Lagosi Nigeria. 


Mwanasoka Bora, Yaya Toure raia wa Ivory anayeitumikia Manchester City ya England ni kati ya watakaowania nafasi hiyo.

Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika:
1.    Ahmed Musa                          (Nigeria, CSKA Moscow)
2.    Asamoah Gyan                       (Ghana, Al Ain)
3.    Dame N’doye                         (Senegal, Lokomotiv Moscow)
4.    Emmanuel Adebayor               (Togo, Tottenham)
5.    Eric Maxim Choupo-Moting          (Cameroon, Schalke 04)
6.    Fakhreddine Ben Youssef            (Tunisia, CS Sfaxien)
7.    Ferdjani Sassi                          (Tunisia, CS Sfaxien)
8.    Yao Kouassi Gervais ‘Gervinho’ (Cote d’Ivoire, AS Roma)
9.    Islam Slimani                          (Algeria, Sporting Lisbon)
10. Kwadwo Asamoah                   (Ghana, Juventus)
11. Mehdi Benatia                         (Morocco, Bayern Munich)
12. Mohamed El Neny                   (Egypt, Basel)
13. Pierre-Emerick Aubameyang        (Gabon, Borussia Dortmund)
14. RaĂ¯s M'Bolhi                           (Algeria, Philadelphia Union)
15. Sadio ManĂ©                            (Senegal, Southampton)
16. Seydou Kieta                          (Mali, As Roma)
17. Sofiane Feghouli                     (Algeria, Valencia)
18. Stephane Mbia                       (Cameroon,  Sevilla)
19. Thulani Serero                        (South Africa, Ajax)
20. Vincent Aboubakar                  (Cameroon, Porto)
21. Vincent Enyeama                    (Nigeria, Lille)
22. Wilfried Bony                          (Cote d’Ivoire, Swansea)
23. Yacine Brahimi                       (Algeria, Porto)
24. Yannick Bolasie                       (DR Congo, Crystal Palace)
25. Yaya Toure                            (Cote d’Ivoire, Man City)
Wanaowania tuzo za Mwanasoka Bora Afrika( Kwa wachezaji wanaocheza Afrika)

1.    Amr Gamal                     (Egypt, Al Ahly)
2.    Abdelrahman Fetori          (Libya, Ahly Benghazi)
3.    Bernard Parker               (South Africa, Kaizer Chiefs)
4.    Bongani Ndulula               (South Africa, Amazulu)
5.    Akram Djahnit                 (Algeria, ES Setif)
6.    Ejike Uzoenyi                   (Nigeria, Enugu Rangers)
7.    El Hedi Belamieri              (Algeria, ES Setif)
8.    Fakhereddine Ben Youssef   (Tunisia, CS Sfaxien)
9.    Ferdjani Sassi                    (Tunisia, CS Sfaxien)
10. Firmin Mubel Ndombe          (DR Congo, AS Vita)
11. Geoffrey Massa                  (Uganda, Pretoria University)
12. Jean Kasusula                     (DR Congo, TP Mazembe)
13. Kader Bidimbou                  (Congo, AC Leopards)
14. Lema Mabidi                       (DR Congo, As Vita)
15. Mudathir Al Taieb                (Sudan, Al Hilal)
16. Roger AssalĂ©                     (Cote d’Ivoire, Sewe Sport)
17. Senzo Meyiwa                    (South Africa, Orlando Pirates)
18. Solomon Asante                 (Ghana, TP Mazembe)
19. Souleymane Moussa            (Cameroon, Coton Sport)

20. Yunus Sentamu                  (Uganda, AS Vita)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox