MENEJA msaidizi wa
zamani wa klabu ya Manchester United Mike Phelan amesema kuwa nyota wa
Real Madrid Cristiano Ronaldo anaweza kusikiliza kama klabu hiyo
ikijaribu kumnunua tena. Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ureno
ametengeneza mahusiano mazuri na mashabiki wa klabu hiyo katika kipindi
alichoichezea kabla ya kujiunga na Madrid kwa kitita cha paundi milioni
80. Phelan anaamini kuwa Ronaldo anaweza kurejea United kwani alifurahia
katika kipindi chote alichokuwepo hapo kwasababu ndio maisha yake ya
soka yalipoanza kung’ara. Pamoja na hayo Phelan anadhani kwasasa itakuwa
mapema mno kwa Ronaldo kurejea Old Trafford hususani kutokana na
mafanikio aliyopata na hadhani kama klabu hiyo inaweza kumruhusu.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumapili, 4 Januari 2015
RONALDO ANAWEZA KUREJEA UNITED.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni