MENEJA wa klabu ya
Arsenal, Arsene Wenger amesisitiza kuwa asingeweza kuondoka katika timu
hiyo hata kama wangeshindwa kunyakuwa Kombe la FA msimu
uliopita. Arsenal walimaliza ukame wao wa vikombe wa miaka tisa kwa
kuifunga Hull City kwa mabao 3-2 katika mchezo wa fainali uliofanyika
katika Uwanja wa Wembley Mei mwaka jana. Akiulizwa na wanahabari kama
angeondoka kwa kushindwa kunyakuwa Kombe la FA, Wenger amesema
isingewezekana kwani hakuona umuhimu huo. Kocha huyo aliendelea kudai
kuwa katika mechi 1000 alizoisimamia Arsenal ameshinda 600 hiyo
inamaanisha ana wastani wa ushindi kwa asilimia 60 hivyo haoni sababu ya
kujiuzulu kwani anafanya kazi yake vyema. Wenger amesema anaheshimu
mkataba wake na ataendelea kuutumikia mpaka hapo wakati wake
utakapofika.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumapili, 4 Januari 2015
SINA MPANGO WA KUONDOKA ARSENAL - WENGER.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni