STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 24 Aprili 2015

KUELEKEA MCHEZO WA JUMAPILI; MASHABIKI WA ARSENAL WATAKA BANGO LA FABREGAS LING'OLEWE


Mashabiki wa Arsenal wametoa kali ya mwaka baada ya kutaka uongozi uliondoe bango la Cesc Fabregas kwenye Uwanja wa Emirates.

Mashabiki hao wametaka bango la nahodha wao huyo wa zamani liondolewe kabla hajatua hapo akiwa na Chelsea wikiendi hii.

Wamesisitiza lazima liondolewe kwa kuwa anarejea akiwa mpinzani wao mkubwa.


Fabregas raia wa Hispania aliichezea Arsenal kwa mafanikio makubwa kabla ya kuondoka mwaka 2011 na kujiunga na Barcelona lakini akarejea England na kujiunga na Chelsea ambayo sasa inapambana na Arsenal kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox