STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 24 Aprili 2015

UTAFITI: LIVERPOOL NDIO TIMU INAYOONGOZA KWA MAFANIKIO MIAKA 50 ILIYOPITA IKIFUATIWA NA MAN UNITED


SKY Sports wamefanya tafiti kuonesha ni timu gani England imefanya vizuri zaidi katika miaka 50 iliyopita na wametengeza data kwenye jedwali kuonesha matokeo.
Nafasi katika jedwali imetolewa kwa kuangalia wastani wa nafasi inayomaliza timu katika mIsimu yote ndani ya kipindi cha nusu karne.
Ili kukidhi vigezo vya utafiti huo, timu pekee ambazo zimemaliza nafasi nne za juu kwenye ligi za England angalau kwa miaka 15 iliyopita tangu 1964-65 zimejumuishwa.
Jumla ya timu 90 zimejumuishwa katika utafiti huo.
Liverpool imeongoza kwenye wastani wa ligi kuu ambao ni wastani wa 3.3 na sasa wapo nafasi ya tano katika msimamo msimu huu, lakini hawajahi kushinda kombe kwa miaka 26 sasa.
Manchester United imeshika nafasi ya pili kwa wastani wa ligi wa 4.9
Arsenal (4.9) wameshika nafasi ya tatu, wakiuatiwa na Everton (8.8), Tottenham (9) na Chelsea (11).
TIMU YA KWANZA MPAKA 20 SOMA CHINI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox