STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 18 Julai 2015

ARSENAL WAFANYA KWELI BARANI ASIA


Washika bunduki wa London, Arsenal wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Asia Trophy baada ya kuichapa Everton mabao 3-1 katika mechi ya fainali iliyopigwa leo.

Kocha mkuu wa Arsenal, Arsene Wenger alikuwa ametulia kwenye benchi huku vijana wake wakionesha kiwango cha hali ya juu katika mechi hiyo ambayo ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya.

Golikipa mpya wa Arsenal aliyesajiliwa kutoka Chelsea majira haya ya kiangazi, Petr Cech amecheza mechi yake ya kwanza na kuokoa michomo ya hatari.
Magoli ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott (22), Saint Cazorla (58) na Mesut Ozil (63).

Bao pekee la Everton limefungwa na Ross Barkley (76) .
Arsenal attacker Walcott is joined by his team-mate Olivier Giroud as the duo celebrate taking the lead against fellow English side Everton
Mshambuliaji wa Arsenal, Walcott akiungana na Olivier kushangilia


kiungo wa Arsenal Carzola akiwa kabeba ubingwa


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox