STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 2 Julai 2015

KIIZA NDANI YA DAR ES SALAAM KUANZA KAZI SIMBA

Hamisi Kiiza ‘Diego’ ametua jijini Dar es Salaam tayari kuanza kazi na Simba.

Kiiza aliyekuwa mshambuliaji tegemeo wa Yanga amesema amekuja kumaliza na Simba na mara moja kuanza kazi.
Lakini akasisitiza kwamba masuala ya Yanga yaachwe, maana yamepita.
“Nimekuja kufanya kazi na mwajiri wangu mpya, yale ya Yanga yamepita,” alisema Kiiza.
Kiiza aliongozana na mshambuliaji mwingine Simon Sserunkuma raia wa Uganda pia.


KIIZA AKIWA NA SSERUNKUMA

PICHA KWA HISANI YA sALEH jEMBE

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox