Hamisi Kiiza ‘Diego’ ametua jijini Dar es Salaam tayari kuanza kazi na Simba.
Kiiza aliyekuwa mshambuliaji tegemeo wa Yanga amesema amekuja kumaliza na Simba na mara moja kuanza kazi.
Lakini akasisitiza kwamba masuala ya Yanga yaachwe, maana yamepita.
“Nimekuja kufanya kazi na mwajiri wangu mpya, yale ya Yanga yamepita,” alisema Kiiza.
Kiiza aliongozana na mshambuliaji mwingine Simon Sserunkuma raia wa Uganda pia.
KIIZA AKIWA NA SSERUNKUMA |
PICHA KWA HISANI YA sALEH jEMBE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni