STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 21 Julai 2015

TAARIFA MPYA KUMHUSU ANGEL DI MARIA


Manchester United wamefungua mazungumzo na PSG kuhusu usajili wa Angel Di Maria ambaye ameshaonesha nia ya kutimka Old Trafford.

Wiki iliyopita ripoti zilienea Hispania kwamba Di Maria anapenda kurejea katika klabu yake ya Real Madrid, lakini miamba hiyo ilikanusha na sasa PSG ndio sehemu pekee anayoweza kwenda kwani hata Bayern Munich waliokuwa wakihusishwa kumsajili wamechomoa.

Kwa mujibu wa The Star, mazungumzo makubwa ya United na PSG ni kuhusu ada ya uhamisho ya nyota huyo ambaye Man United walimsaini kwa paundi milioni 59 majira ya kiangazi mwaka jana.

Hata hivyo mashetani hao wekundu hawategemei kupata faida katika dili hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox