STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 24 Julai 2015

TETESI ZA USAJILI KUTOKA KWA WANA 'JANGWANI' YANGA SC

Mshambuliaji wa Gor Mahia, Michael Olunga

Tetesi za usajili ndani ya klabu ya Yanga zinasema kwamba, mshambuliaji wake, Rais wa Liberia, Kpah Sherman anakaribia kutua katika klabu mojawapo inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika Kusini.

Winga aliyekosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha  Yanga, Mbrazil,  Andrey Coutinho anatafutiwa timu itakayomnunua baada ya BDF XI ya Botswana kutaja pesa dau dogo la milion 10 za Kitanzania. Hata hivyo St.George ya Ethiopia wameonesha kuvutiwa na Coutinho.

Yanga imepanga kumalizana na kiungo mkabaji wa Gor Mahia , Khalid Auch pamoja na mshambuliaji Michael Olunga ambaye Azam FC na Simba SC wanawania saini yake pia.


Beki kiraka, Mbuyu Twite yupo mashakani kuendelea kukipiga Jangwani huku tatizo haswa imekuwa usumbufu kutoka klabu yake ya zamani ya FC LUPOPO.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox