Baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 120, mshambuliaji wa Arsenal ya England, Alexis Sanchez alifunga penalti ya nne ya Chile na kumaliza mchezo, baada ya Gonzalo Higuain na Ever Banega kukosa mfululizo mikwaj yao.
Waliofunga penalti za Chile mbali na Sanchez wengine ni Charles Aranguiz, Arturo Vidal na Matias Fernandez, wakati Lionel Messi alifunga penalti pekee ya Argentina.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumapili, 5 Julai 2015
Home
/
Unlabelled
/
VIDEO; HAYA NDIO MATUTA YALIWAPA USHINDI CHILE JANA, HIGUAIN DUUH, CHEKI HAPA MIKWAJU YOTE....
VIDEO; HAYA NDIO MATUTA YALIWAPA USHINDI CHILE JANA, HIGUAIN DUUH, CHEKI HAPA MIKWAJU YOTE....
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni