Nyota namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenesi muingereza Andy Murray ametwaa ubingwa wa michuano ya Rogers
Murray
ametwaa ubingwa huu baada ya kumshinda mpinzani wake Novack Djokovic
kwa seti 6-4 4-6 6-3 katika mchezo uliochukua muda wa saa tatu.
Murray amemzawadia ushindi huo kocha wake Amelie Mauresmo,aliyepata mtoto wa kiume siku ya jumapili.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni