STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 21 Agosti 2015

DORTMUND NI NOMA SANA, WANORWAY WAPAGAWA HAWAJAAMINI KILICHO TOKEA....

 Soka soma asee! Borussia Dortmund nusura waonekane ni vibonde tena msimu huu.


Maana ndani ya dakika 22 walikuwa wameishapigwa 3-0 na Odds Ballklubb kutoka Norway. Hii ni mechi ya michuano ya Kombe la Europa.
Waliokuwa uwanjani, waliokuwa wanatazamana mechi hiyo cjana kwenye runinga, wakaamini wakongwe hao wanakula 1-0.



Soka lina mambo yake, hauwezi kuamini mambo yalibadilika na Dortmund kusawazisha zote na kuongeza moja, mwisho wakaibuka na ushinda wa mabao 4-3.
Marco Reus, Jakub Blaszczykowski naLukasz Piszczek ndiyo waliibuka mashujaa kwa kupiga mabao hayo manne na kuikoa Dortmund kwenye Europa League.














Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox