STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 19 Agosti 2015

LIVERPOOL ILITAFTIWA MATOKEO AZUNGUMZA KOCHA WA BOURNEMOUTH



Meneja wa klabu ya Bournemouth ya nchini Uingereza,Eddie Howe amesema maamuzi yaliyofanywa kinyume na matarajio ya wengi katika mchezo waliopoteza dhidi ya Liverpool hayasameheki.

Christian Benteke alifunga goli pekee baada ya kupata kross safi kutoka kwa Jordan Henderson ambayo kabla ya hapo Philippe Coutinho alikwisha otea licha ya kutougusa mpira.

Mapema mchezaji wa Bournemouth Tommy Elphick alikaribia kufunga lakini alinyimwa kwa kucheza vibaya.''Huwezi kupingana na maamuzi na mambo hayo yalitunyima alama muhimu'' alisema meneja wa Bournemouth mwenye miaka 37 Eddie Howe.

Howe alisema kuwa atajaribu kutizama nini kitafuatia kwa mwamuzi wa mchezo huo Craig Pawson pamoja na waaamuzi wasaidizi. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye dimba la Anfield, Liverpool waliondoka na ushindi mwembamba wa goli 1 kwa bila lililofungwa na mshambuliaji mpya wa timu hiyo Christian Benteke.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox