Hand
of God ndio jina maarufu la goli ambalo Maradona alifunga kwenye mechi
ya kombe la dunia dhidi ya England. Lakini katika mechi hiyo refa
hakuweza kuona kama Maradona alifunga goli kwa mkono, matokeo yake
likahesabiwa kuwa halali.
Wiki hii Maradona akiwa Tunisia amemtembelea refa huyo anayeitwa Ali Bennaceur.
Maradona
alipokutana na refa huyo ambaye kwasasa ana miaka 71 walipeana zawadi
ambapo Maradona alimpa jezi yenye maneno “Fro Ali, my eternal friend”.
Baadae ilichezwa mechi huko Tunisia kwenye uwanja wa Azteca kati ya timu ya maradona na Shilton
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni