STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 19 Agosti 2015

MARADONA AMPA ZAWADI REFA ALIYEKUBALI GOLI LAKE LA MKONO MWAKA 1986.




Hand of God ndio jina maarufu la goli ambalo Maradona alifunga kwenye mechi ya kombe la dunia dhidi ya England. Lakini katika mechi hiyo refa hakuweza kuona kama Maradona alifunga goli kwa mkono, matokeo yake likahesabiwa kuwa halali.
Wiki hii Maradona akiwa Tunisia amemtembelea refa huyo anayeitwa Ali Bennaceur. 
Maradona alipokutana na refa huyo ambaye kwasasa  ana miaka 71 walipeana zawadi ambapo Maradona alimpa jezi yenye maneno “Fro Ali, my eternal friend”.
Baadae ilichezwa mechi huko Tunisia kwenye uwanja wa Azteca kati ya  timu ya maradona na Shilton 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox